• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

Ujenzi

Idara ya Ujenzi na zimamoto katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo inaongozwa na Mkuu wa Idara hiyo Eng.
Simu Na.

Halmasahuri ya Wilaya ya Bagamoyo ina kilometa za Barabara 544.73 kati ya hizo Km 69 ni Barabara za Kitaifa (Trank Road), Km 63 Barabara za mkoa (Reginal Road) na Km. 412.73 ni Barabara za Wilaya ambapo Km 16.8 ni barabara za Lami, Km 36.10 ni barabara za changarawe na Km 359.83 ni barabara za udongo.

Katika mwaka wa fedha 2014/2015, Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo iliidhinishiwa jumla ya  Tshs. 2, 019, 727,200.00,  kupitia mradi wa MIVARF ili kufanya ukarabati wa Barabara za Kisauke – Matipwili kilomita 8.5 imekamilika toka mwezi wa sita 2016, Kiwangwa – Wami/Mambohela kilomita 15 ipo hatua za mwisho za ukamilishaji.

Katika mwaka wa fedha 2015/2016, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo pia iliidhinishiwa jumla ya  Tshs. 717, 600,000.00, kutoka Mfuko wa barabara kwa ajili ya kazi za matengenezo ya barabara za Wilaya kwa mchanganuo ufuatao:-

     AINA YA MATENGENEZO                                                         GHARAMA (TSHS:)
1. Matengenezo ya kawaida (Routine Maintenance)    km 54.00        118,800,000.00
2. Matengenezo ya sehemu korofi (Spot Improvement) km 35.00      105,000,000.00
3. Matengenezo ya maalumu (Peridic Maintenance)    km 18.50        370,000,000.00
4. Madaraja na Makalavati (Bridge & Culverts)                                     46,320,000.00
5. Usimamizi                                                  77,480,000.00

                                              JUMLA   KUU   717,600,000.00


Aidha, katika mwaka wa fedha 2016/2017, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo  imeidhinishiwa Jumla ya  Tshs: 795,200,000  kwa ajili ya matengenezo ya Barabara kwa mchanganuo ufuatao:-

     AINA YA MATENGENEZO                                                                         GHARAMA (TSHS:)
1. Matengenezo ya kawaida (Routine Maintenance)     km 64.43                    193,290,000.00
2. Matengenezo ya sehemu korofi (Spot Improvement)  km 19.32                    77,280,000.00
3. Matengenezo ya maalumu (Peridic Maintenance)     km 13.1327                     ,380,000.00
4. Madaraja na Makalavati (Bridge & Culverts)                                                154,620,000.00
5. Road Inventory and Adrics                                                                               5,000,000.00
6. Usimamizi                                                                                                       37,630,000.00
                                                         
                                                  JUMLA  KUU 795,200,000

MAJUKUMU YA IDARA YA UJENZI NA ZIMAMOTO


Kufanya makadirio ya ujenzi wa barabara, madaraja na majengo ya Halmashauri


Kuhakikisha mtandao wa barabara unapata matengenezo kwa wakati na unapitika wakati wote.


Kuandaa bajeti ya matengenezo ya barabara za Halmashauri.


Kutoa ushauri kwa Mkurugenzi juu ya ujenzi wa aina mbali mbali unaoendelea ndani ya Halmashauri.


Kutoa ushauri kwa watu binafsi juu wa ujenzi mbali mbali unaoendelea ndani ya Halmashauri.


Kuandaa michoro mbali mbali ya majengo, barabara na madaraja.


Kufanya usanifu (designing) ya majengo na madaraja.


Kuandaa mpango wa marekebisho au maboresho ya miundo mbinu iliyochakaa kulingana na bajeti iliyotengwa.


Kusimamia kazi za ujenzi wa majengo, barabara na madaraja zinazotekelezwa na wakandarasi au jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BAGAMOYO KUJITANGAZA KIMATAIFA SEKTA YA UTALIII...

    May 10, 2025
  • HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAPANDA MITI 500 ENEO LA MNADA WA ZINGA KUBORESHA MAZINGIRA...

    April 15, 2025
  • TUTAENDELEA KUSIMAMIA KWA DHATI NA HAKI MISINGI YA DEMOKRASIA...

    April 02, 2025
  • ELIMU KUHUSU MPOX YATOLEWA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI...

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo